Timu hii itashiriki kwa mara ya kwanza michuano ya Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika BAL. Mwandishi wetu anaeleza ndoto ya timu hii na vipi wamejipanga na changamoto za kupata ushindi.
Klabu ya Mpira wa Kikapu ya City Wailers yaendelea kuwa katika hatua nzuri
Kiungo cha moja kwa moja
Klabu ya City Wailers ya mpira wa kikapu iliyoanzishwa miaka kumi na mbili iliyopita imekuwa ikicheza katika hatua nzuri ikishiriki ligi ya kikapu ya kitaifa na nyinginezo, ambapo imeshiriki michuano minane ya NBL tangu 2014.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017