Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 10:21

Marekani yaipongeza Nigeria kwa uchaguzi mkuu na kutoa wito wa utulivu


Marekani yaipongeza Nigeria kwa uchaguzi mkuu na kutoa wito wa utulivu
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Marekani siku ya Jumatano iliipongeza Nigeria kwa kuchaguliwa kwa mgombea urais wa chama tawala Bola Tinubu, huku ikitoa wito wa utulivu huku kukiwa na shutuma za wizi wa kura na wasiwasi juu ya hitilafu za kiufundi.

XS
SM
MD
LG