Wananchi wa Goma wamefanya maandamano makubwa Jumatatu na kufunga shughuli za kibiashara wakishinikiza kuondoka kwa MONUSCO na jeshi la Afrika Mashariki nchini DRC.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari