Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 04:30

Marekani na Ujerumani waridhia kupeleka vifaru vya kivita Ukraine


Marekani na Ujerumani waridhia kupeleka vifaru vya kivita Ukraine
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:32 0:00

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kuwa Marekani itatuma vifaru 31 aina ya Abram nchini Ukraine muda mfupi tu baada ya Ujerumani kutangaza itatuma vifaru 12 aina ya Leopard 2.

XS
SM
MD
LG