Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 28, 2023 Local time: 12:18

Washirika wa maendeleo waahidi kuwekeza $ bilioni 30 kutekeleza mikataba ya Afrika


Washirika wa maendeleo waahidi kuwekeza $ bilioni 30 kutekeleza mikataba ya Afrika
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Washirika wa maendeleo wameahidi kwa pamoja kuwekeza dola bilioni 30 katika utekelezaji wa mikataba ya Afrika, utoaji wa chakula na kilimo katika kipindi cha miaka mitano.

XS
SM
MD
LG