Shambulizi hilo lilitokea Januari 15, siku ya Jumapili. Hizi ni picha ambazo zinaonyesha namna shambulizi hilo lilivyowajeruhi na kuharibu mali ya kanisa hilo. Picha zote na mwandishi wa VOA Austere Malivika.
DRC: Shambulizi la kanisa na athari za mlipuko wa bomu kwa raia
Shambulizi la bomu katika Kanisa la Kiprotestanti mjini Kasindi, Wilaya ya Beni, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, lilileta maafa makubwa kwa raia waliokuwa wanahudhuria ibada.
9
Mmoja wa majeruhi wa shambulizi la kigaidi lililotokea katika kanisa moja mjini Kasindi, wilaya ya Beni, DRC.
10
Jeshi la DRC likifika katika tukio la mlipuko wa bomu.
11
Maafisa wa Jeshi la DRC wakiwa katika eneo la tukio la shambulizi.
12
Makamanda wa Jeshi la DRC wakiwa katika eneo la tukio la mlipuko huko DRC.