Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 18:45

Kiongozi wa kanisa Katoliki Duniani Papa Francis anatarajiwa kuzuru DRC mwishoni mwa mwezi huu


Kiongozi wa kanisa Katoliki Duniani Papa Francis anatarajiwa kuzuru DRC mwishoni mwa mwezi huu
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Balozi wa Vatican mjini Kinshasa Ettore Balestrero alisema ziara ya Papa Francis nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo itaikumbusha dunia kutopuuza mizozo ya miongo kadhaa ambayo imelikumba taifa hilo lenye utajiri wa madini na kuharibu maisha ya mamilioni ya watu. DRC ina wakatoliki milioni 45

XS
SM
MD
LG