Matukio muhimu ya 2022 katika picha
- Abdushakur Aboud
Dunia yashuhudia matukio ya kihistoria mwaka 2022 kuanzia mabadiliko ya hali ya hewa, vita vya Ukraine, ughali wa maisha hadi nja na uhamiaji.
1
Mafuriko makubwa kuwahi kutokea Pakistan katika jimbo la Sehwan.
2
Maji yaliyokauka kwenye ziwa Poyang jimbo la Jiangxi, China ni ishara ya mabadiliko ya hali ya hewa.
3
Familia na marafiki wa mwandishi wa habari wa Al Jazeera, Shireen Abu Akleh, aliyeuliwa katika mashambulio ya Israel, wakielekea kumzika.
Familia na marafiki wa mwandishi wa habari wa Al Jazeera, Shireen Abu Akleh, aliyeuliwa katika mashambulio ya Israel, wakielekea kumzika.
4
Olga akimkumbatia rafiki yake Vlodomyr kabla ya kwenda vitani Ukraine, kufuatia uvamizi wa Rashia.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017