Matukio muhimu ya 2022 katika picha
- Abdushakur Aboud
Dunia yashuhudia matukio ya kihistoria mwaka 2022 kuanzia mabadiliko ya hali ya hewa, vita vya Ukraine, ughali wa maisha hadi nja na uhamiaji.
5
Wakazi walokoseshwa makazi katika kitongoji cha Cite Soleil katika mji mkuu wa Haiti.
6
Waandamanaji wameingia nyumbani kwa rais Gotabaya Rajapaksa wa Sri Lanka kumtaka aachie madaraka.
7
Ukame uliokithiri katika jimbo la Abdroy Madagascar, mchanga ukifunika adhi ya mji wa Ambovombe.
8
Waingereza waaga mwili wa Malkia Elizabeth kuelekea Kasri ya Windsor.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017