Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 03:46

Viongozi wa Afrika na Marekani wanakutana Washington


Viongozi wa Afrika na Marekani wanakutana Washington
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Rais wa Marekani Joe Biden atakuwa mwenyeji wa viongozi kutoka nchi za Afrika kuanzia kesho Jumanne hapa Washington DC, wakati White House ikiweka mikakati ya kupunguza pengo la ukosefu wa uaminifu kati ya Marekani na Afrika, jambo ambalo limekuwa liokiongezeka kwa muda wa miaka kadhaa.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG