Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 14:56

Makamanda wa kijeshi wa pande zinazozozana Ethiopia wanakutana Kenya kwa mashauriano ya utekelezwaji Mkataba wa kudumu wa kusitisha uhasama


Makamanda wa kijeshi wa pande zinazozozana Ethiopia wanakutana Kenya kwa mashauriano ya utekelezwaji Mkataba wa kudumu wa kusitisha uhasama
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mkutano wa siku tatu unaotajwa kuwa wa mashauriano unalenga kutathmini mafanikio yaliopo katika utekelezwaji kamili wa Mkataba wa Kudumu wa Kusitisha Uhasama wa Vita nchini Ethiopia uliotiwa saini Novemba 2 mjini Pretoria huko Afrika Kusini

XS
SM
MD
LG