Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Februari 05, 2026 Local time: 04:36

Malawi yagundua kaburi lenye mili 25 inayoshukiwa kuwa ya raia wa Ethiopia


Malawi yagundua kaburi lenye mili 25 inayoshukiwa kuwa ya raia wa Ethiopia
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Malawi imegundua kaburi la halaiki kaskazini mwa nchi hiyo lenye mabaki ya watu 25 wanaoshukiwa kuwa wahamiaji kutoka Ethiopia, polisi walisema Jumatano.

XS
SM
MD
LG