Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 08:50

Uganda na WHO wanapanga kujaribu chanjo mbili za virusi vya Ebola


Uganda na WHO wanapanga kujaribu chanjo mbili za virusi vya Ebola
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Uganda na WHO wanapanga kujaribu chanjo mbili za virusi vya Ebola ya Sudan ili kujaribu kuzuia kuenea kwa ugonjwa huo nadra. Virusi hivyo hadi sasa vimeuwa watu 19 na kuwaambukiza takriban watu 54 katika wilaya tano nchini Uganda.

XS
SM
MD
LG