Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 02:58

Wakazi wa Goma wapanga maandamano kushinikiza jeshi la Monusco liondoke DRC


Wakazi wa Goma wapanga maandamano kushinikiza jeshi la Monusco liondoke DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Wakazi wa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, wapanga maandamano na kusababisha biashara kufungwa ikiwa ni hatua ya kutaka jeshi la Monusco liondoke nchini humo.

- Idadi ya watu walioambukizwa na virusi vya Ebola yazidi kuongezeka Uganda

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG