Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 13:37

Rais Tshisekedi aitaka UN kujihusisha zaidi katika kupambana na ugaidi


Rais Tshisekedi aitaka UN kujihusisha zaidi katika kupambana na ugaidi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wakati jeshi la Jumuiya ya Afrika Mashariki likitarajiwa kuingia mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wakati wowote makubaliano rasmi yanayotoa mamlaka kwa utendaji kazi wa jeshi hilo yakikamilika.

Kwa upande wake Rais Tshisekedi ameutaka Umoja wa Mataifa kujihusisha zaidi katika kupambana na ugaidi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG