Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 11:53

Zaidi ya watu milioni 2 katika jimbo la Florida nchini Marekani wamekosa umeme baada ya kimbunga Ian kuingia na kuua watu wasiopungua 12


Zaidi ya watu milioni 2 katika jimbo la Florida nchini Marekani wamekosa umeme baada ya kimbunga Ian kuingia na kuua watu wasiopungua 12
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Kimbunga Ian chenye nguvu kubwa kinatarajiwa kutua leo Ijumaa jimbo la South Carolina kabla ya kuhamia maeneo ya ndani ya jimbo hilo na kuelekea jimbo la North Carolina kufikia Jumamosi.

XS
SM
MD
LG