Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 10:09

William Ruto aapishwa rais wa tano wa Kenya


William Ruto aapishwa rais wa tano wa Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

William Ruto ameapishwa kama rais wa tano wa Kenya siku ya Jumanne, wiki moja baada ya Mahakama ya Juu kuidhinisha uchaguzi ambao ulikatiza matumaini ya familia mashuhuri za kisiasa nchini humo na kumpa mamlaka mtu ambaye alianza kazi yake kama muuza kuku kando ya barabara.

XS
SM
MD
LG