Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 05:08

Tshisekedi ahutubia mkutano wa 77 wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa


Tshisekedi ahutubia mkutano wa 77 wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshidekedi, ni kati ya viongozi wa nchi na serikali ambao wamehutubia kikao cha 77 cha Umoja wa mataifa mjini New York katika siku ya kwanza ya kongamano hilo, na kuelezea changamoto zinazozidi kuikumba nchi yake na hatua zinazohitaji kuchukuliwa.

XS
SM
MD
LG