Jopo la Majaji Maarufu wa Afrika limewasili nchini Kenya kufuatilia kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais Kenya 2022, ambapo kongamano linafanyika kabla ya kesi kuanza kusikilizwa Jumanne.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.