Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 12:25

LIVETALK: Majadiliano ya masuala mbalimbali yaliyogonga vichwa vya habari wiki hii


LIVETALK: Majadiliano ya masuala mbalimbali yaliyogonga vichwa vya habari wiki hii
please wait

No media source currently available

0:00 0:59:59 0:00

Kwenye Livetalk wiki hii tunajadili masuala mbalimbali, yakiwa ni pamoja na kesi iliyowasilishwa mahakamani nchini Kenya, kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais, Uchaguzi mkuu nchini Angola, shughuli za kuhesabu watu nchini Tanzania na Rwanda, na kusamehewa kwa mikopoiya wanafunzi wa Marekani.

XS
SM
MD
LG