Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 15:18

WASIFU WA RAILA AMOLO ODINGA.mp3


please wait

No media source currently available

0:00 0:10:45 0:00

Mwaka huu, anawania nafasi ya urais kwa mara ya tano, baada ya kutofanikiwa katika azma yake ya kuliongoza taifa hilo kwa mara nne, katika chaguzi za awali ambazo, baadhi ziligubikwa na utata.

Katika msururu wa makala yetu maalum kuhusu uchaguzi wa Kenya wa mwaka 2022, leo tunaangazia wasifu wa Raila Amolo Odinga, mwanasiasa mkongwe ambaye, mwaka huu, anawania nafasi ya urais kwa mara ya tano, baada ya kutofanikiwa katika azma yake ya kuliongoza taifa hilo kwa mara nne, katika chaguzi za awali ambazo, baadhi ziligubikwa na utata.

Makundi

XS
SM
MD
LG