Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Desemba 16, 2025 Local time: 16:32

Mafuriko yaikumba baadhi ya miji ya UAE


Mafuriko yaikumba baadhi ya miji ya UAE
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:28 0:00

Mafuriko yamepiga maeneo ya Umoja wa Falme za Kiarabu wakati nchi ikikumbwa na mvua kubwa.

Baadhi ya watu waliokwama ambao walishindwa kutoka katika nyumba zao kwenye miji ya Sharjah na Fujairah waliokolewa na askari wa ulinzi wa raia. Fujairah iliathiriwa vibaya kutokana na hali yake ya asili ya milima na miinuko.

XS
SM
MD
LG