Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 04:33

Seneta Robert Menendez wa Marekani atoa wito wa tathmini ya kina ya sera ya Marekani kwa Rwanda.


Seneta Robert Menendez wa Marekani atoa wito wa tathmini ya kina ya sera ya Marekani kwa Rwanda.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mwenyekiti wa Kamati ya Uhusiano wa mambo ya Nje katika baraza la Seneti la Marekani amesema atasimamisha msaada wa usalama wa Marekani kwa Rwanda Bungeni kutokana na wasiwasi kuhusu rekodi ya haki za binadamu ya serikali ya Rwanda na jukumu lake katika mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

XS
SM
MD
LG