Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 17:18

Wakimbizi wa DRC walioko Angola waanza tena kurudi nyumbani


Wakimbizi wa DRC walioko Angola waanza tena kurudi nyumbani
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Shirika la Umoja wa mataifa linalohudumia wakimbizi linasema mpango kwa ajili ya wakimbizi wa Congo wanaotaka kurejea nyumbani kwa hiari kutoka Angola umeanza tena baada ya kusimama kwa miaka miwili kutokana na janga la Covid 19. Kundi la kwanza la wakimbizi 88 linatarajiwa kuwasili DRC leo.

XS
SM
MD
LG