Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:33

Viongozi wa G7 wazindua mradi wa dola bilioni 600 ukilenga nchi maskini duniani


Viongozi wa G7 wazindua mradi wa dola bilioni 600 ukilenga nchi maskini duniani
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Katika kile kinachoonekana kama mkakati wa kushindana na China katika ufadhili wa miradi ya miundombinu ya nchi maskini duniani, kundi la G7 limeanzisha mradi wa dola bilioni 600 ukilenga miradi mbalimbali katika nchi hizo.

XS
SM
MD
LG