Kufuatia kuuawa kwa waziri mkuu wa zamani wa Japan Shinzo Abe, viongozi mbalmbali duniani wameeleza kushtushwa kwao hususan kwa sababu nchi hiyo haina rekodi mbaya ya uhalifu wa kutumia bunduki.
Kufuatia kuuawa kwa waziri mkuu wa zamani wa Japan Shinzo Abe, viongozi mbalmbali duniani wameeleza kushtushwa kwao hususan kwa sababu nchi hiyo haina rekodi mbaya ya uhalifu wa kutumia bunduki.