Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 11, 2024 Local time: 06:30

Mapigano makali yazuka tena kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23


Mapigano makali yazuka tena kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Mapigano makali yametokea mashariki mwa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo kati ya wanajeshi wa serikali na waasi wa kundi la M23, saa chache baada ya rais wa Congo Felix Tshisekedi kukubaliana na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame kupunguza uhasama kati ya nchi zao mbili.

XS
SM
MD
LG