Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 21:03

DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza uhasama


DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza uhasama
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:23 0:00

Rwanda na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimekubaliana kupunguza uhasama kufuatia wiki kadhaa za mvutano mkubwa juu ya mapigano ya waasi mashariki mwa DRC, ofisi ya rais wa Congo imesema Jumatano baada ya mazungumzo kati marais wa nchi hizo mbili chini ya upatanishi wa rais wa Angola.

XS
SM
MD
LG