Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ni kati ya viongozi waliozuru Ukraine na kuahidi msaada zaidi wa silaha na uungwaji mkono wa azma ya nchi hiyo kujiunga na umoja wa ulaya.
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ni kati ya viongozi waliozuru Ukraine na kuahidi msaada zaidi wa silaha na uungwaji mkono wa azma ya nchi hiyo kujiunga na umoja wa ulaya.