- UN yasema zaidi ya watu 80,000 wamekoseshwa makazi kutokana na mapigano DRC na wanauhitaji mkubwa wa chakula.
- Watoto wachanga wafariki kutokana na ajali ya moto hospitalini, Senegal.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari