Wakimbizi kutoka Jamhuri ya Afrika ya kati walioko Cameroon wameanza kurejea nyumbani baada ya kukimbia ghasia za kisiasa kuanzia mwaka 2014.
Wakimbizi kutoka Jamhuri ya Afrika ya kati walioko Cameroon wameanza kurejea nyumbani baada ya kukimbia ghasia za kisiasa kuanzia mwaka 2014.