Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Februari 22, 2026 Local time: 03:46

Jeshi la Nigeria laendesha operesheni ya kumtafuta kamanda wake


Jeshi la Nigeria laendesha operesheni ya kumtafuta kamanda wake
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:04 0:00

Jeshi la Nigeria laendesha msako wa kumtafuta na kumuokoa kamanda wa kikosi cha 93 aliyetoweka baada ya msafara wa magari aliyekuwa akiyaongoza kushambuliwa ghafla na watu waliokuwa na silaha.

XS
SM
MD
LG