Rais Joe Biden, akiwa ziarani nchini Japan, amesema kwamba Marekani iko tayari kufanya mashambulizi ya kulipiza kisasi iwapo China itaishambulia Taiwan.
Rais Joe Biden, akiwa ziarani nchini Japan, amesema kwamba Marekani iko tayari kufanya mashambulizi ya kulipiza kisasi iwapo China itaishambulia Taiwan.