Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Januari 16, 2025 Local time: 09:15

Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alitoa wito kwa vikosi vya kijeshi vya Burkina Faso, Guinea na Mali kurudisha madaraka kwa raia


Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alitoa wito kwa vikosi vya kijeshi vya Burkina Faso, Guinea na Mali kurudisha madaraka kwa raia
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

ECOWAS iliweka vikwazo vikali dhidi ya nchi ya Mali mwezi Januari baada ya serikali ya kijeshi ilipokataa kurejesha haraka utawala wa kiraia. Imetishia vikwazo kama hivyo dhidi ya Guinea na Burkina Faso kama zitashindwa kuwezesha mpito wa haraka kwa utawala wa kiraia ndani ya muda unaofaa

XS
SM
MD
LG