Kagame anasema Rwanda kusaini makubaliano na Uingereza ya kupokea wahamiaji waliofurushwa na nchi hiyo, ni kutokana na azma ya serikali yake kuwa mstari wa mbele kwa kutetea haki za binadamu.
Kagame anasema Rwanda kusaini makubaliano na Uingereza ya kupokea wahamiaji waliofurushwa na nchi hiyo, ni kutokana na azma ya serikali yake kuwa mstari wa mbele kwa kutetea haki za binadamu.