Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 16:12

Makubaliano ya kuwapa hifadhi wahamiaji nchini Rwanda yaibua utata


Makubaliano ya kuwapa hifadhi wahamiaji nchini Rwanda yaibua utata
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Makubalinao kati ya Uingereza na Rwanda ambapo wahamiaji wanaojaribu kuingia nchini Uingereza watahamishiwa kwenye taifa hilo la Afrika Mashariki yameibua hisia mseto huku baadhi ya wadau, wakiwa ni pamoja na watetezi wa haki za binadamu, wakiyakosoa vikali.

XS
SM
MD
LG