Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 03:42

UN yalaani mashambulizi nchini Yemen, Saudi Arabia


UN yalaani mashambulizi nchini Yemen, Saudi Arabia
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:01 0:00

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani kuongezeka kwa mashambulizi nchini Yemen hasa baada ya wapiganaji wa Kihuthi wanaoungwa mkono na Iran kufanya mashambulizi ya makombora dhidi ya vituo vya mafuta nchini Saudi Arabia.

XS
SM
MD
LG