Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Aprili 24, 2024 Local time: 03:15

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa aomba vita visitishwe mara moja nchini Ukraine.


Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa aomba vita visitishwe mara moja nchini Ukraine.
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Antonio Guteress , akizungumza kwenye mkutano wa Baraza la usalama la Umoja wa mataifa kuhusu Ukraine, amesema jambo la dharura kwa hivi sasa ni kunyamanzisha silaha. Ameomba pia kufanyike uchunguzi huru kuhusu mauaji ya kikatili yanayodaiwa kutekelezwa na wanajeshi wa Russia katika mji wa Bucha.

XS
SM
MD
LG