Chama tawala nchini Nigeria kimemteua mwenyekiti mpya katika kongamano la kitaifa linalonuia kumaliza mizozo huku kikijiandaa kumchagua mgombea atakayechukua nafasi ya Rais Muhammadu Buhari katika uchaguzi wa mwaka 2023.
Chama tawala nchini Nigeria kimemteua mwenyekiti mpya katika kongamano la kitaifa linalonuia kumaliza mizozo huku kikijiandaa kumchagua mgombea atakayechukua nafasi ya Rais Muhammadu Buhari katika uchaguzi wa mwaka 2023.