Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 09:35

Michuano ya Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika, BAL, yaendelea Senegal


Michuano ya Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika, BAL, yaendelea Senegal
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:48 0:00

Timu ya mpira wa kikapu ya Seydou Athletic Club ya Guinea imeanza vyema michuano ya klabu bingwa barani Afrika BAL baada ya kuwabwaga timu mwenyeji Dakar University Club DUC kwa jumla ya pointi 85-70 katika mechi ya ufunguzi katika uwanja wa Dakar Arena Machi 5, 2022.

Makundi

XS
SM
MD
LG