Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 01:15

Malalamiko ya shirika la kutetea haki za binadamu Kenya kuhusu huduma namba


Malalamiko ya shirika la kutetea haki za binadamu Kenya kuhusu huduma namba
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:40 0:00

Shirika la kutetea haki za binadamu nchini Kenya (KHRC) limewasilisha ombi Bungeni kuitaka serikali ya Kenya kusitisha utekelezaji wa mpango wa Huduma Namba hadi pale dosari zilizopo zitakaposhughulikiwa .

XS
SM
MD
LG