Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 03, 2026 Local time: 07:18

Museveni aondoa marufuku aliyoiweka kwa waendesha bodaboda


Museveni aondoa marufuku aliyoiweka kwa waendesha bodaboda
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:27 0:00

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameondoa marufuku ya miaka miwili aliyoiweka kwa waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda kutofanya biashara usiku kutokana na janga la corona.

XS
SM
MD
LG