Rais wa Marekani Joe Biden ametimiza mwaka mmoja madarakani tangu kuchaguliwa kuliongoza taifa hilo huku maoni yakionyesha utendaji wake kazi uko chiniku kutokana na mfumuko wa bei na janga la corona.
Duniani Leo: Jan 19: Rais Biden atimiza mwaka mmoja madarakani
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari