Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 01:42
VOA Direct Packages

WASHINGTON BUREAU : Dunia yashuhudia vurugu katika uwanja wa ndege Kabul


WASHINGTON BUREAU : Dunia yashuhudia vurugu katika uwanja wa ndege Kabul
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:16 0:00

Wiki hii dunia imeshuhudia vurugu katika eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Hamid Karzai, Kabul, Afghanistan, wakati raia wa Marekani na Waafghanistan waliokuwa wakisaidia jeshi la Marekani wakifanya juhudi za kuondoka baada ya Taliban kuchukua udhibiti wa nchi hiyo.

Makundi

XS
SM
MD
LG