Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:48

Dunia yaendelea kuomboleza kifo cha Kaunda


Dunia yaendelea kuomboleza kifo cha Kaunda
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Salamu za rambirambi zaendelea kutolewa kote duniani kufuatia kifo cha muasisi wa taifa la Zambia hayati Kenneth Kaunda.

- Wimbi la tatu la maambukizi ya COVID-19 laendelea kuwa changamoto kubwa katika nchi nyingi barani Afrika.

- Waethiopia waendelea kujiandaa kwa uchaguzi mkuu utakaofanyika wiki ijayo.
XS
SM
MD
LG