VOA Direct Packages
Duniani Leo : Tanzania : Machi 31 : Rais Samia afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri
Kiungo cha moja kwa moja
Mabadiliko makubwa ameyafanya kwenye Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kumteua balozi Liberata Mulamula kuwa mbunge na baadaye kumteua kushikilia wizara hiyo. Pia amemteua balozi Hussein Katanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017