Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Juni 24, 2026 Local time: 09:19
VOA Direct Packages

Duniani Leo : Tanzania : Machi 31 : Rais Samia afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri


Duniani Leo : Tanzania : Machi 31 : Rais Samia afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:03 0:00

Mabadiliko makubwa ameyafanya kwenye Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kumteua balozi Liberata Mulamula kuwa mbunge na baadaye kumteua kushikilia wizara hiyo. Pia amemteua balozi Hussein Katanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Makundi

XS
SM
MD
LG