Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 13:28

Rais wa zamani wa Ghana Jerry Rawlings afariki akiwa na umri wa miaka 73

Kiongozi wa zamani wa Ghana Jerry Rawlings, atakumbukwa kwa kudumisha demokrasia na kuleta utulivu nchini mwake pamoja na kukuza uhusiano wa kimataifa.

Rawlings aliyefariki November 12, 2020, atakumbukwa kama kiongozi aliyeongoza mapinduzi ya kijeshi nchini humo, mara mbili na baadaye kuleta mfumo wa demokrasia kwa taifa hilo la Afrika Magharibi.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG