Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 18:28

Wachezaji wa kimataifa wa kandanda wanaogua COVID-19

Mambukizo ya virusi vya corona yakiingia katika awamu ya pili kwenye nchi nyingi za dunia, kuna baadhi ya wachezaji mashuhuri wa kandanda wanaougua ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi hivyo.

Janga la corona limesababisha mambo menage kusitishwa katika kila pembe ya dunia ikiwa ni pamoja michezo na mashindano mbali mbali. Hali hiyo imesababisha baadhi ya wachezaji na mameneja walioambukizwa virusi hivyo kujitenga na timu zao wakati wanapokea matibabu. Miongoni mwa wachezaji maarufu walioambukizwa ni mchezaji wa Juventus' Cristiano Ronaldo na Neymar wa PSG.

Makundi

XS
SM
MD
LG