Janga la corona limesababisha mambo menage kusitishwa katika kila pembe ya dunia ikiwa ni pamoja michezo na mashindano mbali mbali. Hali hiyo imesababisha baadhi ya wachezaji na mameneja walioambukizwa virusi hivyo kujitenga na timu zao wakati wanapokea matibabu. Miongoni mwa wachezaji maarufu walioambukizwa ni mchezaji wa Juventus' Cristiano Ronaldo na Neymar wa PSG.
Wachezaji wa kimataifa wa kandanda wanaogua COVID-19
Mambukizo ya virusi vya corona yakiingia katika awamu ya pili kwenye nchi nyingi za dunia, kuna baadhi ya wachezaji mashuhuri wa kandanda wanaougua ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi hivyo.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017