Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 05:21

Wakenya waomboleza kifo cha Daniel Arap Moi


Wakenya waomboleza kifo cha Daniel Arap Moi
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:47 0:00

Taifa la Kenya linaomboleza kifo cha aliekuwa rais wa pili wa nchi hiyo Daniel arap Moi aliefariki alfajiri ya leo Jumanne wakati akiwa kwenye hospitali ya Nairobi ambako alikuwa amelazwa kwa muda.

XS
SM
MD
LG