Amewakumbushia vijana walioshiriki lengo la elimu ni kujenga mahusiano mazuri baina ya binadamu.
Akizungumza na watoto katika ukumbi wa Paul VI, Papa Francis amesema: “Tunahamasishwa wote kujenga kijiji cha elimu.” Watoto hao walimzawadia Papa blanketi kabla ya Papa kuangalia tumbuizo maalum. (AP).
Akizungumza na watoto katika ukumbi wa Paul VI, Papa Francis amesema: “Tunahamasishwa wote kujenga kijiji cha elimu.” Watoto hao walimzawadia Papa blanketi kabla ya Papa kuangalia tumbuizo maalum. (AP).